Notification texts go here Contact Us Buy Now!
TENGENEZA BLOG YA BIASHARA KUPITIA WAT_TECHNOLOGY...
المشاركات

JINSI YA KUSHARE SCREEN KWA WHATSAPP

 






whatsapp wanawaletea feature ya ku-share screen kwenye whatsapp.
Feature hiyo inawawezesha mtumiaji wa simu kumuelekeza mwenzie juu ya kitu kilichopo kwenye simu yake.
Hii hufanyika kwa kufanya screen recording broadcast..

Mfano.

 Umepata shida kwenye simu yako juu ya kitu flani na unataka kuelekezwa namna ya kukirekebisha.

Hii feature itamsaidia anaekuelekeza kupata screen record ya simu yako na kukuelekeza cha kufanya. Sasa utawezaje kufanya hivyo?

Ingia Whatsapp kisha piga video call.Chini ya video call, Unayempigia akishapokea utaona kialama cha screen sharing ambacho ni simu yenye mshale. Utabonyeza hicho!Kwa mara ya kwanza itakwambia maneno "screen sharing is private..." Hivyo utabonyeza continue



Itakuja iption ya simu inayokuuliza kama utataka kushare screen ambapo utabonyeza "start now" kuipa accessKisha scredn sharing itaanza!Ambapo unayempigia simu ataanza kuona screen yako na kila kitu unachofanya kwenye simu.



Hivyo atakuwa na uwezo wa kukupa maelekezo nini cha kufanya kwenye aimu yako ili kutatua shida yako.


Feature hii ipo kwenye telegram tangu 2017.


BONYEZA HAPA KWA MSAADA ZAIDI

إرسال تعليق

Whatsapp me 0699181313
Cookie Consent
We serve cookies on this site to analyze traffic, remember your preferences, and optimize your experience.
Oops!
It seems there is something wrong with your internet connection. Please connect to the internet and start browsing again.
AdBlock Detected!
We have detected that you are using adblocking plugin in your browser.
The revenue we earn by the advertisements is used to manage this website, we request you to whitelist our website in your adblocking plugin.
Site is Blocked
Sorry! This site is not available in your country.