Notification texts go here Contact Us Buy Now!
TENGENEZA BLOG YA BIASHARA KUPITIA WAT_TECHNOLOGY...

Jinsi ya kuzuia contents za blog yako au website kukopiwa na mtu mwengine

 


Je, wewe ni blogger au web designer? kama wewe ni blogger au web author na umechoka na tabia ya watu wengine kukopi post zako na kutumia kwenye blogs zao au webs zao hii hapa ni njia pekee ya kuzuia post zako zisikopike:-

kama unatumia blog..login kwenye blog yako alafu nenda kwenye layout sehemu ya kuadd gadget..add gadget ya html/javascript baada ya hapo copy na paste hizi code:
<script type="text/javascript">
var omitformtags=["input", "textarea", "select"]
omitformtags=omitformtags.join("|")
function disableselect(e){
if (omitformtags.indexOf(e.target.tagName.toLowerCase())==-1)
return false
}
function reEnable(){
return true
}
if (typeof document.onselectstart!="undefined")
document.onselectstart=new Function ("return false")
else{
document.onmousedown=disableselect
document.onmouseup=reEnable
}

</script>


Unapofanya hivyo ukiwa unajua kwamba mtu haweza Copy tena kiurahisi ujue anapoteza tu muda.

Kama ukishindwa kucopy hizo HTML CODE nitxt whatsapp nikutumie


إرسال تعليق

Whatsapp me 0699181313
Cookie Consent
We serve cookies on this site to analyze traffic, remember your preferences, and optimize your experience.
Oops!
It seems there is something wrong with your internet connection. Please connect to the internet and start browsing again.
AdBlock Detected!
We have detected that you are using adblocking plugin in your browser.
The revenue we earn by the advertisements is used to manage this website, we request you to whitelist our website in your adblocking plugin.
Site is Blocked
Sorry! This site is not available in your country.